MAJUKUMU YA WIZARA.

Wizara ya Utalii, na Mambo ya Kale ina Majukumu makuu yafuatayo: -

  1. Kusimamia na kuendeleza Utalii kwa lengo la kuinua pato la Taifa na uchumi wa wananchi;
  2. Kutangaza utalii ndani na nje ya nchi;
  3. Kuhifadhi, kulinda na kuendeleza maeneo yote ya kihistoria nchini;
  4. Kukusanya mapato ya huduma zinazotolewa katika Maeneo ya Kihistoria na Kamisheni ya Utalii;
  5. Kuratibu uibuaji wa miradi, ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia sekta ya Utalii na Mambo ya Kale;
  6. Kuandaa Sera, Sheria na mikakati ya kuendeleza sekta ya Utalii na Mambo ya Kale pamoja na kusimamia utekelezaji wake.

Mawasiliano yetu

Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale
Mnazi Mmoja, Zanzibar.
S.L.P 2277, Zanzibar.
Barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Tovuti: www.utaliismz.go.tz